1
Blessed
1
Prayers
0
Maoni
1
Shares
Namshukuru Mungu kwa kazi aliyonipa baada ya kumalizia shule miaka 8 iliyopita sijawahi kuajiriwa. Nilifunga novena,nilihiji vituo vya sala kuombea hitaji hili la Ajira. Sasa nimepata ajira ya kudumu kukurico sehemu ninayoipenda na kuiona kama familia yangu ya pili baada ya nyumbani kwangu.
Comments & Responses (0)
No comments yet. Be the first to share your thoughts!
Tafadhali login to leave a comment.