Rudi kwenye Habari
Habari za Kanisa Matukio
KONGAMANO LA DAMU AZIZI YA YESU
Tukio

KONGAMANO LA DAMU AZIZI YA YESU

C
Msimamizi wa Kanisa
Mwandishi
Jul 18, 2025
Muda wa kusoma ~ 3 dakika

Kongamano limeandaliwa na Wamisionari na Wnautume wa Damu Azizi ya Yesu, litafanyika parokiani Mt Gaspar Del Bufalo Ikiongozwa kwa ibada takatifu na Askofu mkuu Jude Thaddeus Ruwa'ichi atakayefungua kongamano kisha siku ya kufungwa ibada itaongozwa na Padre Vedasto Ngowi mkuu wa shirika la damu azizi

Maelezo Zaidi

Kongamano limeandaliwa na Wamisionari na Wnautume wa Damu Azizi ya Yesu, litafanyika parokiani Mt Gaspar Del Bufalo Ikiongozwa kwa ibada takatifu na Askofu mkuu Jude Thaddeus Ruwa'ichi atakayefungua kongamano kisha siku ya kufungwa ibada itaongozwa na Padre Vedasto Ngowi mkuu wa shirika la Damu azizi

KONGAMANO LA DAMU TAKATIFU YA YESU

Endelea Kuunganishwa na Jumuiya Yetu

Gundua habari zaidi, matangazo, na matukio yajayo ya familia yetu ya kanisa.

Vinjari Habari Zote
Kiungo kimenakiliwa