Rudi
Habari
Maaskofu Tanzania walaani mauaji ya kikatili na kinyama ya vijana&watu wengi

Maaskofu Tanzania walaani mauaji ya kikatili na kinyama ya vijana&watu wengi

Imechapishwa na: Member2 Member
Imechapishwa: Disemba 4, 2025
Location: Baraza la Maaskofu Tanzania
Uchaguzi wa Oktoba 29 umeliingiza Taifa katika hali ya sintofahamu iliyojitokeza katika maandamano.Tunasikitishwa sana na hii hali tunalaani haya mauaji ya kikatili na ya kinyama ya vijana wetu na watu wengine.Huu ni uovu mkubwa na ni chukizo la Mungu wetu.kuandamana ni haki ya raia kama njia ya kufikisha ujumbe au malalamiko ikiwa njia ya mazungumzo imeshindikana.Ni kutoka katika Tafakari ya Baraza ka Maaskofu,Tanzania iliyotolewa tarehe 15 Novemba 2025.

Maelezo Zaidi

Uchaguzi wa Oktoba 29 umeliingiza Taifa katika hali ya sintofahamu iliyojitokeza katika maandamano.Tunasikitishwa sana na hii hali tunalaani haya mauaji ya kikatili na ya kinyama ya vijana wetu na watu wengine.Huu ni uovu mkubwa na ni chukizo la Mungu wetu.kuandamana ni haki ya raia kama njia ya kufikisha ujumbe au malalamiko ikiwa njia ya mazungumzo imeshindikana.Ni kutoka katika Tafakari ya Baraza ka Maaskofu,Tanzania iliyotolewa tarehe 15 Novemba 2025.

Maaskofu Tanzania walaani mauaji ya kikatili na kinyama ya vijana&watu wengi