Rudi
Tukio
PAPA LEO -TUTAFUTE HAKI NA AMANI
Hija ya kitume ya Baba Mtakatifu Leo XIV nchini Lebanon kuanzia tarehe 30 Novemba hadi tarehe 2 Desemba 2025 imeongozwa na kauli mbiu “Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.” Mt. 5:9. Baba Mtakatifu amewataka watu wa Mungu nchini Lebanon kujikita kikamilifu katika kutafuta na kudumisha haki na amani hata kati kati ya mtutu wa bunduki na kwamba, hii ni changamoto endelevuu dhidi ya: chuki, kiburi, utawala wa mabavu, utengano na uhasama
Maelezo Zaidi
Hija ya kitume ya Baba Mtakatifu Leo XIV nchini Lebanon kuanzia tarehe 30 Novemba hadi tarehe 2 Desemba 2025 imeongozwa na kauli mbiu “Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.” Mt. 5:9. Baba Mtakatifu amewataka watu wa Mungu nchini Lebanon kujikita kikamilifu katika kutafuta na kudumisha haki na amani hata kati kati ya mtutu wa bunduki na kwamba, hii ni changamoto endelevuu dhidi ya: chuki, kiburi, utawala wa mabavu, utengano na uhasama