Rudi
Habari
KIFO NI MWANZO WA UMILELE
Kanisa linawaombea wafu kwa sababu linaamini kuwa upendo wa Mungu unafanya kazi hata baada ya mtu kufa,na sala inaweza kuwasaidia wazidi kukaribia ukamilifu wa kiroho wale waliokufa wakiwa katika hali ya neema ya utakaso ila wana madoa ambayo hayakulipwa wakiwa hapa duniani.Kwa hivyo wako mahali pa utakaso(Toharani).Wanahitaji sala zetu.
Maelezo Zaidi
Kanisa linawaombea wafu kwa sababu linaamini kuwa upendo wa Mungu unafanya kazi hata baada ya mtu kufa,na sala inaweza kuwasaidia wazidi kukaribia ukamilifu wa kiroho wale waliokufa wakiwa katika hali ya neema ya utakaso ila wana madoa ambayo hayakulipwa wakiwa hapa duniani.Kwa hivyo wako mahali pa utakaso(Toharani).Wanahitaji sala zetu.